1 Chronicles 14:8-13
8 aWafilisti waliposikia kuwa Daudi ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli yote, wakapanda na jeshi lao lote kwenda kumsaka, lakini Daudi akapata habari hizo, naye akatoka ili kwenda kukabiliana nao. 9 bBasi Wafilisti walikuwa wameingia na kushambulia Bonde la Warefai, 10Hivyo Daudi akamuuliza Mungu: “Je, niende kuwashambulia hao Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Bwana akamjibu, “Nenda, nitawatia mikononi mwako.” 11 cHivyo Daudi pamoja na watu wake wakakwea mpaka Baal-Perasimu, ▼▼ Maana yake ni Bwana Afurikae.
akawashinda huko. Akasema, “Kama maji yafurikavyo, Mungu amewafurikia adui zangu kwa kutumia mkono wangu.” Kwa hiyo mahali pale pakaitwa Baal-Perasimu. 12 eWafilisti walikuwa wameacha miungu yao huko, Daudi akaamuru iteketezwe kwa moto. 13 fKwa mara nyingine Wafilisti wakavamia lile bonde;
Copyright information for
SwhKC